Barbara Afunguka Kuhusu Chama Baada ya Kumaliza Mkataba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Wanasimba wanapaswa kutulia, Chama haendi kokote. Kwa sasa bado ni mali ya Simba kwa vile mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu huu, lakini pia mwenyewe ameonyesha nia ya kuendelea kusalia kikosini na tumeshaanza mazungumzo ya kusaini mkataba mpya”


“Mazungumzo hayo na wakala wake yapo pazuri na wakati wowote tutamalizana naye na kusalia katika timu yetu ambayo imepania kufanya vizuri katika michuano ya ndani na ile ya kimataifa” -:Maneno Ya  Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba sc Barbara Gonzalez


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad