Benpaul na Arnelisa Kulikoni? Tumemisi Show Off Zenu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rumor has it , kuwa yale mahusiano yaliyokua na tashtiti mjini, kati ya mwanamuziki benpaul na mrembo kutoka kenya , Annerlisa ambaye katokea kwenye familia ya kitajiri , inasemekana mahusiano hayo hayapo tena na sasa hivi imebaki story tu .


Chanzo cha ubuyu kinadai wawil Hao walimwagana mda mrefu tu ila hawakutaka wanazengo wajue kitu kwa kuogopa vichambo kwenye mitandao.


Siku za hiv karibun benpaul amekua kimya sana tofauti na awali walipokua kwenye mahusiano, ambapo alikua akiishi maisha expensive sana pamoja na trip nyingi za US, Dubai , China na nchi nyinginezo ambapo sasa hiv imebaki tu historia

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad