Fisi Aliyeua Mtoto, Kujeruhi Wawili Auawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


FISI aliyeua mtoto na kujeruhi watu wazima wawili jana, Septemba 4, 2020,  mchana katika Kijiji cha Mbogo, Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu,  ameuawa na askari wa kikosi cha ujangili cha Maswa na Bunda.

Fisi huyo anayesemekana alitoka katika pori la akiba la Maswa alimvamia na kumuua mtoto  wa kike, Kwangu Makanda (11) ambapo waliojeruhiwa Fatili Lindai Tungu ($#) na Miranda Sali Nyamoko Mwanaume (55) ambao walipelekwa hospitali ya wilayani Ikindilo kwa  matibabu.

Uongozi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) umekuwa ukifanya jitihada kubwa mkoani humo kudhibiti wanyama hatari kwa ajili ya kuokoa maisha ya binadamu au kuzuia madhara ambayo yangeweza kusababishwa na wanyama hao.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad