AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
FISI aliyeua mtoto na kujeruhi watu wazima wawili jana, Septemba 4, 2020, mchana katika Kijiji cha Mbogo, Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, ameuawa na askari wa kikosi cha ujangili cha Maswa na Bunda.
Fisi huyo anayesemekana alitoka katika pori la akiba la Maswa alimvamia na kumuua mtoto wa kike, Kwangu Makanda (11) ambapo waliojeruhiwa Fatili Lindai Tungu ($#) na Miranda Sali Nyamoko Mwanaume (55) ambao walipelekwa hospitali ya wilayani Ikindilo kwa matibabu.
Uongozi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) umekuwa ukifanya jitihada kubwa mkoani humo kudhibiti wanyama hatari kwa ajili ya kuokoa maisha ya binadamu au kuzuia madhara ambayo yangeweza kusababishwa na wanyama hao.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK