AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka kumuachia Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zanzibar, Nassor Mazrui
Amesema, "Kuna taratibu za kukamata mtu, na kilichofanyika ni uvamizi na uhuni. Tunatoa wito Mazrui aachiwe mara moja"
Kwa mujibu wa Kiongozi wa Chama, Zitto Kabwe, Mazrui ametekwa leo asubuhi na wanaosemekana kuwa Vijana wa Jeshi la JKU Zanzibar akiwa anaelekea Ofisini
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK