Maalim Seif "Mamlaka Zimuachie Nassor Mazrui Mara Moja"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka kumuachia Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zanzibar, Nassor Mazrui

 

Amesema, "Kuna taratibu za kukamata mtu, na kilichofanyika ni uvamizi na uhuni. Tunatoa wito Mazrui aachiwe mara moja"

 

Kwa mujibu wa Kiongozi wa Chama, Zitto Kabwe, Mazrui ametekwa leo asubuhi na wanaosemekana kuwa Vijana wa Jeshi la JKU Zanzibar akiwa anaelekea Ofisini


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad