AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
JAMBO KAMA JAMBO: Kwa Mkapa leo Kinaumana. Ni Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli.
Ataeleza tulikotoka, Tulipo na Tunakoenda na Kueleza kwa Mapana Sera na Ilani ya chama hicho
Vijana Wasanii Wakiongozwa na Diamond, Harmonize, Alikiba, Nandy na Wengine zaidi ya 20 Watakuwepo kueleza kwa njia ya Sanaa ushuhuda wao wa Mambo makubwa yaliyofanyika ndani ya Miaka 5 tu.
Ni ndani ya Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam Kuanzia Saa 2 asubuhi. Usikubali Kusimuliwa Wala Kuhadithiwa. Njoo tusherekee pamoja huku tukifurahia
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK