Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli Kuunguruma Dar es Salaam Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



JAMBO KAMA JAMBO: Kwa Mkapa leo Kinaumana. Ni Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli. 

 

Ataeleza tulikotoka, Tulipo na Tunakoenda na Kueleza kwa Mapana Sera na Ilani ya chama hicho 

 

Vijana Wasanii Wakiongozwa na Diamond, Harmonize, Alikiba, Nandy na Wengine zaidi ya 20 Watakuwepo kueleza kwa njia ya Sanaa ushuhuda wao wa Mambo makubwa yaliyofanyika ndani ya Miaka 5 tu. 


Ni ndani ya Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam Kuanzia Saa 2 asubuhi. Usikubali Kusimuliwa Wala Kuhadithiwa. Njoo tusherekee pamoja huku tukifurahia

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad