Polisi akamatwa kwa kumshambulia mmoja wa waandamanaji Nigeria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Maafisa katika mji wa kibiashara nchini Nigeria ambao wamewakamata polisi waliowashambulia waandamanaji wanaoendelea kuandamana dhidi ya ukatili wa polisi.

Vyombo vya habari vimeripoti kuwa polisi walifyatua risasi katika kundi la waandamanaji katika eneo la Surulere mjini humo.


Gavana wa jimbo la Lagos, Babajide Sanwo-Olu, aliwataja majina polisi hao wanne ambao amesema wanakabiliwa na kesi ya nidhamu:


What was my crime again? I was protesting against police brutality and I got brutalised for it . #EndSARS #EndSWAT #EndPoliceBrutalityinNigeria pic.twitter.com/AboZeuzx8m



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad