Polisi 'Tunamshikilia MTU mmoja Kati ya 17 Waliovamia Studio ya S2Kizzy Usiku

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi Kanda Maalum DSM wanamshikilia Mtu mmoja kati ya 17 waliovamia Studio ya @s2kizzy kwa kujifanya Polisi jamii na ulinzi shirikishi usiku wa October 14, 2020 ambapo waliwakamata Wasani na kuwapeleka Polisi kituo cha kijitonyama na kuwafungulia kesi za uongo.


"Nimeagiza Wasanii hao waliokamatwa waachiwe huru mara moja na hilo Genge  la wahuni lisakwe, hao sio Polisi Jamii, hakuna Polisi Jamii wanaoweza kufanya kazi peke yao bila Baraka za Viongozi wa Serikali, nimeagiza wahusika wote 17 wakamatwe, Kiongozi wao tunae na msako unaendelea"- MAMBOSASA   
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad