AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa #Twitter, Roma amesema ujio huo ni mbaya kwenye tasnia yetu kwani unaumiza wasanii wa ndani ambao amekiri kuwa wanauwezo mkubwa kuliko hata hao Wanaijeria.
Akiendelea kutoa hoja, #Roma amesema ukitoa lugha wanayotumia ya Kiingereza haoni chochote kile wanachokiimba ambacho hakifanywi na wasanii wetu hapa Bongo.
Je, unadhani kitu gani kinapelekea Wanaijeria muziki wao kupendwa zaidi Tanzania? Unadhani ni nani wa kulaumiwa?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK