Tetesi na Dalili za Rayvanny Kutaka Kuikimbia WCB Wasafi Zaanza Kuonekana Tena...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


FAHAMU: Kwenye picha hii kuna watu watatu ambao tayari Diamondplatnumz kawapoteza wa kwanza Zarithebosslady wapili Harmonize_tz na wa mwisho ni *Rayvanny

Taarifa za Chini chini inasemekana Vanboy yupo kwenye kufanya malipo ya mwisho mwisho ili ahame kwenye Lebo hiyo peaceful kabisa.

Na ndio maana ukifatilia sasa hivi Kaacha kusupport kazi za Wcb Wasafi.

Mfano Wimbo mpya wa Mbosso HAIJAKAA SAWA hajaupost licha ya kuwa na ushikaji wa karibu na Mbosso.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad