Usajili Mpya..Mtangazaji Frida Amani Aikacha East Africa Radio na Kuhamia Clouds FM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kwasasa imekuwa kawaida sana kuona watangazaji kutoka kituo kimoja kwenda kingine kutokana na uwezo pamoja na ubora wa kazi zao.

Msanii Na Mtangazaji @fridaamaniofficial aliyekuwa Akifanya Kazi East Africa Radio kwenye kipindi Cha jioni Cha ‘The Cruuz’ amehamia Clouds Media

Siku ya leo kupitia ukurasa wa Instagram wa @cloudsfmtz wamepost video ya @fridaamaniofficial na kuandika ujumbe wa kumkaribisha ambapo waliandika na kusema kwamba

“Nguvu yake tunaijua, vita yake sio ya kitoto Champion kwenye mziki akisimama kama rapper, hodari nyuma ya MIC kama mtangazaji mwenye swaggz, infos na vibe ya kutosha! Ana ari na utayari kwa pambano kuiwakilisha CLOUDS! She is Ready! What about You!?

@FridaAmaniOfficial karibu kwenye familia kubwa CLOUDS MEDIA”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad