Watuhumiwa wa Kuchoma Shule Wanaswa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 

Jeshi la Polisi wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro limefanyikiwa kukamatwa kwa watu watatu kwa tuhuma za kuchoma moto bweni la kulia chakula la wanafunzi wa Madrasa lililopo ndani ya Msikiti wilayani humo.


Bweni hilo liliungua kwa moto siku mbili zilizopita Ikiwa ni tukio la pili baada ya mabweni ya wanafunzi wa kike katika shule ya Kaloleni Islamic iliyopo Wilayani Moshi kuungua siku tatu zilizopita.


DC wa Hai, Lengai ole Sabaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya hiyo walifika eneo la tukio na kuvitaka vyombo vya dola kuweka nukta katika matukio hayo yanayoonekana ya kuratibiwa na kupangwa na kwamba katika wilaya hiyo litakua tukio la kwanza na la mwisho.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad