AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto Kabwe ameeleza kuwa gari iliyowagonga ilikuwa ni ya Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Kusini kwa Chama cha ACT Wazalendo na imetokea baada ya vumbi kutanda barabarani hivyo dereva hakuona mbele.
“Tulikuwa tunawahi mkutano njiani tulipata ajali, sikujua chanzo cha ajali mwanzoni niliona tu gari inazunguka kama mara tano, bahati nzuri wote tumetoka salama, gari yetu ya nyumba inayotumiwa na mgombea Ubunge Kigoma Kusini ndio ilitugonga” Zitto Kabwe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK