Amber Lulu aukana ujauzito wa Uchebe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msanii wa BongoFleva Amber Lulu amesema maisha yake hayaweki hadharani bali ni ya siri sana, ila anashangaa kwanini watu wanapenda kumfuatilia na kumzushia vitu kama kuwa na ujauzito wa Uchebe au kutoka na Producer P Funk Majani.

Akizungumzia kuhusu suala hilo la kudaiwa kuwa na ujauzito wa Uchebe na kutoka kimapenzi na Producer P Funk Majani siku za hivi karibuni Amber Lulu amesema kuwa 


"Maisha yangu siyaweki sana 'public' mimi ni mtu wa 'privacy' sana hata kwa watu waliowahi kuwa karibu na mimi wanajua hilo, kwa hiyo usiri wangu unawatesa na hicho kitu mimi nakipenda ndiyo maana wanahangaika halafu nashangaa kwanini wanahangaika na maisha yangu na wananipa vitu kibao mara naambiwa nina mimba ya Uchebe lakini sio kweli" ameeleza Amber Lulu 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad