Barack Obama amekanusha uwezekano wa kukubali nafasi ya kuteuliwa kwenye Baraza la Mawaziri litakaloundwa na Joe Biden

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama amekanusha uwezekano wa kukubali nafasi ya kuteuliwa kwenye Baraza la Mawaziri litakaloundwa na Joe Biden ambaye wiki mbili zilizopita alitangazwa kama Rais Mteule wa Marekani.


Kwenye mahojiano na mtangazaji Gayle King wa CBS Sunday Morning, Obama alisema "Biden haitaji ushauri wangu, na nitamsaidia kwa namna yoyote nitakayoweza. Obama alijibu swali la Gayle lilihoji Kuna nafasi yoyote kwenye Baraza la Mawaziri?


Aliendelea kujibu "Sasa, sina mpango wa kufanya kazi Ikulu ya White House au chochote. Kuna vitu siwezi kufanya kwa sababu Michelle anaweza kuniacha." alimaliza kwa utani.

2h

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad