Halmashauri kununua gari ya mkurugenzi ya milioni 400, mbunge Msukuma ataka ichunguze

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mbunge wa Jimbo la Geita, Joseph Kasheku maarufu Musukuma amemtumia salamu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita kufuatia halmashauri hiyo kufanya manunuzi ya magari likiwemo Gari la Mkurugenzi Toyota V8 lenye thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 400 ambapo amedai manunuzi hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
Musukuma ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Waadishi wa habari Mkoani Geita ambapo amedai mchakato wa manunuzi haujapewa baraka na vikao vya Baraza la madiwani katika Halmashauri hiyo na ni kwenda kinyume na matumizi ya fedha za SCR zinazotolewa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita GGML.

Na ameenda mbali zaidi na kuiomba Serikali kutuma tume ya Uchunguzi kwenye halmashauri hiyo ili kubaini kama mchakato huo ulifuata hatua za kisheria.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad