Maxence wa Jamii Forums Hana Hatia Kutosajili Jamii Forums Kwa Kikoa cha Co.tz...Achiwa Huru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Katika shitaka la kwanza la kutosajili JamiiForums kwa kikoa cha DO-TZ, Maxence amekutwa hana hatia


Katika shtaka la pili, Mahakama imemkuta na hatia na kumuachia kwa masharti ya kutofanya kosa kama hilo kwa muda wa mwaka mmoja


Shitaka la pili lilihusisha Jeshi la Polisi kumtaka Maxence Melo kutoa taarifa za wanachama wa JamiiForums waliofichua uhalifu uliofanywa na baadhi ya wafanyakazi wa CRDB


Mshitakiwa namba mbili, Mike Mushi amekutwa hana hatia makosa yote Mawili. Hakimu Huruma amesema, Mshitakiwa huyo alikuwa kama Msindikizaji kwenye hii kesi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad