Polepole: Nitoe rai kwa vyama vingine vya siasa, tuthamini na kuheshimu mchango wa Wanawake, wao ndiyo wapiga kura wakubwa nchi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



“Tunathamini na kuheshimu mchango wa Wanawake wote Tanzania, nitoe Rai kwa Vyama l vya siasa hapa Tanzania kufahamu tunapokwenda kwenye Uchaguzi washindi huwa Watanzania lakini nafasi muhimu ya Wanawake inapaswa kupewa heshima kubwa kwa sababu ya mchango mkubwa wameufanya ikiwemo wao kuwa ndiyo wapiga Kura wakubwa katika nchi yetu ya Tanzania” – Humphrey Polepole, Katibu wa NEC.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad