AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais, Dkt. John Magufuli ameteua mawaziri wawili wa Baraza jipya la mawaziri leo, Novemba 13.
Uteuzi huo ni wa Dkt. Philip Mpango kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, nafasi aliyokuwa nayo katika baraza lililopita.
Pia, Prof. Palamagamba Kabudi ameteuliwa kuendelea kushika nafasi aliyokuwa nayo ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK