Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mawaziri Wawili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais, Dkt. John Magufuli ameteua mawaziri wawili wa Baraza jipya la mawaziri leo, Novemba 13.

Uteuzi huo ni wa Dkt. Philip Mpango kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, nafasi aliyokuwa nayo katika baraza lililopita.

Pia, Prof. Palamagamba Kabudi ameteuliwa kuendelea kushika nafasi aliyokuwa nayo ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad