AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Washauri wa Rais Mteule wa Marekani, Joe Biden wametaka hatua za haraka kuchukuliwa ili kudhibiti janga la Corona virus wakati maambukizi nchini humo yakifikia Milioni 11.
Wameonya kuwa ucheleweshwaji wa kubadilishana madaraka unaofanywa na Rais Donald Trump unaweza kuathiri zaidi vita dhidi ya Ugonjwa huo ikiwemo mipango ya mgawanyo wa Chanjo.
Ongezeko la visa na vifo limeripotiwa kwenye Miji mbalimbali nchini humo na baadhi ya Miji imetangaza hatua mbalimbali kama kuweka utaratibu wa kuvaa barakoa na kudhibiti idadi ya watu kwenye mikusanyiko.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK