AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Oktoba 31 mwaka huu ulimwengu wa filamu ulimpoteza gwiji wa filamu za James Bond, Sean Connery (90) ambaye alifariki akiwa usingizini nyumbani kwake.
Sababu za kifo chake hatimaye zimetajwa, kwa mujibu wa TMZ ambao wamechungulia cheti cha kifo, wameeleza kuwa Sean Connery alifariki kwa ugonjwa Nimonia ambao ulisababisha kufeli kwa mfumo wa upumuaji. Moyo kushindwa kufanya kazi pia magonjwa ya Uzee.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK