"Christian Bella amenifanyia figisu" - Jacky Chant

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Jacky Chant ni jina lililosikika likitajwa na Christian Bella kwenye nyimbo ya 'nakuhitaji' na 'amerudi' kutoka bendi ya Malaika, ila kwa sasa kuna ugomvi kati ya wasanii hao hali iliyopelekea Jacky Chant kujitoa kwenye bendi hiyo.


eNewz imepiga stori na Jacky Chant mwenyewe kuhusu chanzo cha ugomvi wao ambapo amesema alifanyiwa figisu kwamba uwezo wake unaweza ukamzidi Christian Bella ndiyo maana akatolewa.


"Kilichosababisha mimi kuondoka haikuwa pesa bali ni wapambe wa jamaa walikuwa wanamjaza kwamba akiniachia mimi nitakuja kupanda zaidi na kumpita yeye , niliona figisu zimezidi hivyo nikaondoka, kila mtu ana wakati wake na huu ndiyo wakati wangu, wakati wa Christian Bella na Nyoshi umeshapita" ameeleza Jacky Chant

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad