Fahamu Kisa cha Baba Aliyemuua Mwanaye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Jeshi la polisi mkoani Ruvuma, linamtafuta mtu mmoja anaejulikana kwa jina la Zeno Ndonde, mkazi wa Mbinga mkoani humo kwa tuhuma za kumuua mtoto wake kwa kumkata na Nyengo ubavuni huku sababu ikiwa ni ugomvi wa kugombania shamba.

 

Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Simon Marwa Maigwa, amesema kuwa tukio hilo limetokea Novemba 30,2020, na kwamba mara baada ya kufanya tukio hilo alikimbilia kusikojulikana na kumtaka ajisalimishe kokote alipo kwani mkono wa sheria ni mrefu utamfikia.


Aidha Kamanda Maigwa, amesema kuwa katika kuelekea kipindi hiki cha kilimo ni vyema migogoro yote ya mashamba ipelekwe kwenye ngazi za sheria na siyo kujichukulia sheria mkononi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad