Msemaji wa Serikali Dr. Hassan Abbasi Aonyesha Ujumbe wa Mwisho Aliyotumiwa na Marehemu Godfrey Mungereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbasi amezungumza kuhusu Kifo cha Katibu Mtendaji wa BASATA Godfrey Mungereza, Kupitia ukurasa maalum (@msemajimkuuwaserikali) ameandika ujumbe wa mwisho kutumiwa na marehemu kabla ya kufariki Jana Alhamis


"Nimelazwa General hapa Dom kila kitu kitaenda sawa kuhusu tamasha. Napambana." Dr. Hassan Abbasi alinukuu ujumbe huo na kusema, Ni meseji ya mwisho niliyoipokea juzi Jumanne saa tano na dakika 2 usiku kutoka kwa Kaka yangu Godfrey Mungereza, Katibu Mtendaji wa BASATA, leo hatunaye tena katika hii dunia. Ametutoka tumwombee sana, Mola ampe pumziko la amani la milele.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad