Uchaguzi Uganda 2021: Bobi Wine Kuitikia Wito wa Tume ya Uchaguzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha NUP nchini Uganda, Robert Kyagulanyi hatimaye amefika kwenye tume ya uchaguzi kama alivyoitwa na mwenyekiti wa tume Jaji Simon Byabakama.


Kyagulanyi aliyevalia suti nyeupe aliongozana na viongozi wengine wa chama na wanasheria wake walipokelewa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi na kufanya mkutano wa faragha bila kuwaruhusu wandishi habari ndani


Baada ya mkutano huo Bobi Wine alifahamisha mkutano wa wandishi habari kwamba Tume ya uchaguzi inamutuhumu kwa kuhatarisha maisha ya wananchi kwa kusambaza virusi vya corona kutokana na mikusanyiko mikubwa ya watu katika kampeni zake.


Kyagulanyi na yeye ametowa malalamiko yake kukatazwa na vyombo vya habari baadhi ya sehemu kufanya mikutano na hata kumuzia kupata Hoteli ya kulala baadhi ya sehemu baada ya kampeni zake.


Leo Bobi Wine hakufanya mikutano ya kampeni kufatana na kuchelewa katika mkutano huo lakini anatarajiwa kuendelea na kampeni zake magharibi mwa Uganda hapo kesho.


 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad