Watu 16 wapoteza maisha baada ya basi la abiria kushambuliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Watu 16 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya basi la abiria kushambuliwa katika jimbo la Kano nchini Nigeria.

Kulingana na taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari vya kitaifa, watu wasiojulikana walishambulia basi la abiria katika eneo la Dambatta lililoko kwenye barabara kuu inayounganisha mji mkuu wa Abuja na Kano.


Watu 16 walipoteza maisha kwenye uvamizi huo na wengine wengi walijeruhiwa.


Gavana wa jimbo la Kano Abdullah Umar Ganduje, amelaani uvamizi huo na kusema kuwa vikosi vya usalama vilitumwa kwenye eneo la tukio na kuanzisha uchunguzi.


Eneo hilo limekuwa likikumbwa na mapigano makali kati ya jamii ya Fulani ambao ni wafugaji na makabila mengine yanayojishughulisha na kilimo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad