Askari Akamatwa ‘Gest’ Moshi Akidaiwa Kumuomba Rushwa ya Ngono mama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Taasisi ya kuzuia nakupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro,imemkamata askari wa kikosi cha usalama barabarani aliyefahamika kwa jina la Peter Albert Mushi katika eneo la Soweto wilayani moshi mkoani Kilimanjaro kwenye nyumba ya wageni kwa kosa lakumuomba rushwa ya ngono mama wa mtoto ambaye alipata ajali ili aweze kumsaidia.


Mkuu wa Takukuru mkoa wa Kilimanjaro Frida Wikesy amesema mtuhumiwa alibadilisha maeneo lakini maofisi wa TAKUKURU walifanikiwa kumkamata.

VIDEO:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad