Baraza la Wawakilishi la Marekani limeanza kujadili tena uwezekano wa kumfungulia mashtaka Trump ili kumuondoa madarakani wakimshutumu kwa kuchochea umati kuvamia na kuharibu jengo la Bunge la Marekani - Congress, huku likifanya ghasia iliyopelekea watu watano kufariki.
Tazama Hapa Chini Msanii Rosa Ree Akimkemea Shetani:
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
0 Comments