Ben Pol aongea yote kuhusu kubadili dini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kupitia Friday Night Live msanii Ben Pol  ameweka wazi kuhusu zile picha zilizosambaa zikimwonesha amebadili dini kutoka kuwa Mkristo na kuwa Muislamu.


Ben Pol amesema kuwa suala la dini analiacha kwa wale tu ambao watakutana naye kwenye nyumba ya kuabudi ili lisije likachanganya mashabiki zake.



'Unajua wakati naanza muziki nilikuwa huru na mtu wa kila mtu ndio maana nataka iendelee kuwa hivyo masuala yangu binafasi kama dini sitaki sana kuyaongelea na hata picha zilivyotoka nikasema sitafafanua lolote ila tu kuna watu nitakutana nao kwenye nyumba ya kuabudu'', amesema.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad