Haya Mambo Mazito Ndugu Zangu Leo Mama Dai Amesema Mzee Abduli Sio Baba Ake Dai 😭😭 Kwamba Baba Ake Dai Ni Baba Ake Ricardo Momo
Mzee Abdul Alimkuta Mama Dangote Tayari Ni Mja Mzito Na Mzee Abduli Akaikataa Mimba 🙌🏽🙌🏽 Na Hakuitunza Kabisa
Kiufupi Mama Dai Kasema Kwa Kwinywa Chake Mzee Abdul Sio Baba Wa Diamond Baba Wa Diamond Ni Baba Wa Ricardo Momo
DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL => HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE
1 Comments
Ndio mana, Ricardo Momo wamefanana sana mpaka ADN.
ReplyDeleteUlikuwa Danga poa. Mzee Abduli nae alikuwa mshikaji ?
Anko Shante ataona wivu..!! mnunulie Vespa. na iphoni.
MwanaHawa Umepewa kitu na Box..!! usidandie huluma ya Mondi babake huyooo
na ndugu zake haooooo.