Mnyonge Myongeni Tigo FIESTA ya Clouds FM ilikuwa Imejipanga Kuliko Wasafi Tumewasha na ilikuwa Inachukua Wasanii Viwango

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jana kama mnavyojua TCRA wamewafungua Wasafi TV kurusha matangazo kwa muda wa miezi sita kutokana na msanii Gigy Money kupanda jukwaani na mavazi ambayo hayana heshima huku tamasha likiwa LIVE kwenye TV, ukweli ni kwamba hata kabla ya kufungiwa baadhi ya watu walishaanza kuhoji list ya wasanii Wasafi wanayochukua kwenda nayo kufanya matamasha sita ongelea kwa sana hili lakini kila mtu anajua wanaoitwaga, Ikumbukwe kipindi cha nyuma palikuwa na Tigo Fiesta ki ukweli hili tamasha lilikuwa katika viwango vya hali ya juu sana ukiangalia jukwaaa , mpangilio wa wasanii kuperform na hata List ya wasanii wanaoitwa kutumbuiza ilikuwa ni wale wakalii hakuna longo longo nadiriki kusema Fiesta lilikuwa tamasha number moja Africa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad