AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli kutojihusisha na mchezo wa mpira wa miguu ndani Tanzania na nje ya Tanzania kwa kipindi cha miaka mitatu.
Mbali na kulipa faini ya shilingi milioni tano kamati imemkuta na hatia kwa kuichelewesha faini aliotakiwa kulipa.
Taarifa rasmi iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) imeeleza kuwa mbali na Bumbuli pia Katibu wa Klabu ya Lipuli FC, Julius naye amefungiwa. Taarifa imeeleza namna hii:-
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK