Ofisa Habari wa Yanga Afungiwa na TFF, Mbali na Kulipa Faini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli kutojihusisha na mchezo wa mpira wa miguu ndani Tanzania na nje ya Tanzania kwa kipindi cha miaka mitatu.


Mbali na kulipa faini ya shilingi milioni tano kamati imemkuta na hatia kwa kuichelewesha faini aliotakiwa kulipa.





Taarifa rasmi iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) imeeleza kuwa mbali na Bumbuli pia Katibu wa Klabu ya Lipuli FC, Julius naye amefungiwa. Taarifa imeeleza namna hii:-



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad