Suala la Diamond na baba yake...watakaoongea sana ni wanaume!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Hello JF,


Kama mnavyojua mwanamke akipata mimba ana uhakika mimba ni yake...


Ila kwa wanaume mimba hakuna guarantee ya kujua ni yake/ingawa kuna DNA testing siku hizi...


Swala la partenity ni suala linalowanyima usingizi wanaume...


Jambo ambalo lilikuwepo tangu zamani,


Mpaka leo it is believed wanaume wengi kuchepuka ni katika harakati za kutaka maximizing their chances of being a father, sababu kuzaana ndio lengo kuu la kuwepo sisi duniani.


SHINDA ZAWADI YA SIMU KWA KUDOWNLOAD APPP YA UDAKU SPECIAL HAPA


Anyway,


nilichotaka kusema leo,


ingawa wanawake tunapenda ubuyu but watakaoongea sana kwenye hii ishu ya Diamond ni wanaume! lol


Tutegemee nyuzi nyingi za wakaka humu kuhusu hili... 🤣 🤣 🤣


Mama Diamond kagusa pale panapouma...


A reminder of their worst nightmares!


Wanaume wa humu tulieni tu dawa iwaingie🤣🤣


 Diamond, is either uwaache wote baba zako au uwe nao wote, ukijifanya kuchagua mmoja over the other,the public wont forgive you. Anyway its your life.


Leo nimejiskia tu kuandika chochote....lol


By Rebeca 83


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad