Asimulia alivyopewa adhabu kwa saa mbili hadi ujauzito kuharibika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Moshi. Asha Rajabu(28) mkazi wa kijiji cha Samanga Marangu wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amesimulia namna alivyorukishwa kichurachura na mwenyekiti wa kijiji hicho, kwa madai ya kuchelewa kufunga baa na kusababisha ujauzito wake wa miezi miwili kuharibika.


Mwenyekiti huyo, Wilfredy Minja kwa sasa anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo, kwa tuhuma ya kumsababishia Asha mateso na kupoteza ujauzito.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Akizungumza na gazeti hili, Asha alieleza kuwa kwa zaidi ya miaka mitano, amekuwa akisumbuka kutafuta ujauzito bila mafanikio mpaka hapo alipobahatika kuupata ujauzito huo, lakini baada ya kupata masaibu hayo, furaha yake imemtumbukia nyongo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad