DC Ole Sabaya: TRA kusanyeji kodi kwa haki, wafanyabiashara msitumie risiti moja kusafirisha mizingo mingi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Mkuu wa Wilaya ya Hai @lengai_ole_sabaya amewataka wafanyabiashara wa Wilaya hiyo kulipa kodi na kuhakikisha hawapindishi hawatotumia risiti moja kusafirishia mzigo zaidi ya mmoja.

Mkuu huyo wa Wilaya Ole Sabaya pia amewataka TRA kuwa waaminifu katika suala zima la ukusanyaji wa kodi kwa haki huku akiwaambia Wafanyabiashara ili malalamiko yao yawe na uhalali ni lazima waangalie namna wanavyofanya biashara kabla ya kuwaalika Viongozi na wanasiasa kuimba nyimbo zao za ugumu wa biashara huku wakiwa hawaambii uhalisia wa namna zinavyotumika njia za mkato kukwepa kodi na kuikosesha Serikali mapato ambayo yangeenda kusaidia Taifa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad