AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nilianza kujiona hata mimi ni mkubwa kwenye huu muziki wetu wa Bongo Fleva baada ya wasanii wa mataifa jirani kama Kenya na mengi kuomba niwaandikie nyimbo tena wasanii wakubwa haswa.
Mwanzo nilitaka kutaka Tamaa baada ya kuona kama hakuna ninachofanya maana sioni matunda yake mafanikio siyaoni ila baada ya kuanza kupokea simu za wasanii wa Nje kuomba niwaandikie nyimbo hapo ndio nilipoanza kujiona mkubwa” Jay Melody
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK