Jay Melody: Nilijiona mkubwa kwenye muziki wetu baada ya wasanii wakubwa wa Kenya na nchi jirani kuomba niwaandikie nyimbo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Nilianza kujiona hata mimi ni mkubwa kwenye huu muziki wetu wa Bongo Fleva baada ya wasanii wa mataifa jirani kama Kenya na mengi kuomba niwaandikie nyimbo tena wasanii wakubwa haswa.



Mwanzo nilitaka kutaka Tamaa baada ya kuona kama hakuna ninachofanya maana sioni matunda yake mafanikio siyaoni ila baada ya kuanza kupokea simu za wasanii wa Nje kuomba niwaandikie nyimbo hapo ndio nilipoanza kujiona mkubwa”  Jay Melody

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad