Kanye West 'Mimi Kutaka Urais wa Marekani Ndio Kisa Cha Kim Kardashian Kutaka Tuachane'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kanye West anaamini sababu za Kim Kardashian kudai talaka ni kutokana na yeye kuutaka Urais wa Marekani mwaka 2020. Juzi Ijumaa (Feb. 19) Kim K aliwasilisha mahakamani ombi la talaka kutaka kuachana na Kanye.


Baada ya tamko hilo, Kanye alianza kuwatumia watu ujumbe mfupi na wengine kuwapigia simu akizungumzia ishu hiyo. Umeripoti mtandao wa PEOPLE. Malalamiko yake makubwa yamekuwa kwenye majuto, moja wapo likiwa la kuwania Urais wa Marekani kwa sababu Kim hakuliafiki.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad