Mange Kimambi " Aisee Hii Kesi ya Paula na Kajala Naomba Niachane Nayo Kuanzia Sasa Hivi Nimesikia Upande wa Kajala Nimeweka Mikono Juu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Mange Ameandika Haya:

Aisee hii kesi naomba niachane nayo kuanzia sasa hivi.

Nimesikiliza na upande wa Kajala, nimeweka mikono juu 🙌🙌, acha wamalizane wenyewe. Ngoja mi nirudi kulea watoto.

Siko upande wa mtu, kwa hili itabidi nimaind my own business tu, haina budi.

Natamani niwahadisie niliyoyajua mpaka dakika hii yani nawashwaaaaa kuwaambia ila nikama ntakuwa namdhalilisha mtoto zaidi. Ila dah 🤦🏽‍♀️

Nimechukua uamuzi huu wa kutokuwa upande wa mtu kama mama. All in all mi naomba tusichukue any sides in this case. Tuwaaombee tu wayamalize kifamilia maana yakienda mbali yatakuwa makubwa' Mange Kimambi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad