Meli ya mizigo yagongana na manowari katika pwani ya Kochi nchini Japan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

   


Meli ya mizigo ya kibiashara iligongana na manowari ya Kikosi cha Wanamaji wa Japan (MSDF) katika pwani ya mkoa wa Kochi nchini Japan.

Ajali hiyo ilitokea mwendo wa saa 10.50 za asubuhi kwa saa za ndani, kwenye maeneo ya mbali na ufukwe wa Asizuri ulioko pwani ya Kochi ya Pacific.


Kulingana na shirika la Kyodo, inakadiriwa kuwa wahudumu 3 wa MSDF walijeruhiwa baada ya mgongano huo.


Hakuna uharibifu ulioripotiwa kwenye manowari hiyo baada ya mgongano.


Mawasiliano yalianzishwa na Kituo cha Usimamizi wa Mgogoro cha Ofisi ya Waziri Mkuu (Kantei) kuhusiana na tukio hilo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad