Mwanafunzi Afariki Baada ya Kupigwa Kichwani na Mwalimu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KENYA 

Katika Shule ya Msingi ya Gitithia Mwanafunzi aliyetambulika kwa jina moja la Wambui ameooteza maisha huku chanzo kikidaiwa alipigwa kichwani na Mwalimu wakati akinawa mikono nje ya darasa


Mama yake, Elizabeth Wanjiku amesema Wambui alilalamika kuhusu maumivu makali ya kichwa wakati aliporudi kutoka Shule, baadaye jioni alipomuuliza alisema alipigwa na Mwalimu


Familia imesema matokeo ya upasuaji yalionesha Mtoto wao alipoteza maisha kutokana na majereha aliyopata baada ya kugongwa na kifaa butu kichwani. Mwalimu Mkuu amesema uchunguzi umeanza na kuwataka Wazazi kuwa na subira.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad