Producers wa Sasa Kina S2kizzy na Laizer, Abbah Jifunzeni Muziki Mzuri Kupitia Bolingo za Nyuma Muache Huu Utopolo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kwa wale wapenzi wa muziki wa zamani bolingo japokuwa mimi sio old skool ila nimetokea tu kuzijua nyimbo nyingi kutokana na nature ya kazi nilizowahi kufanya na ninazofanya


Ninachojiuliza zamani teknolojia kuwa ndogo lakini mbona bolingo hizo nyingi sauti na vyombo vimepangiliwa kwa ufasaha maskioni nini siri kubwa hasa waliyotumia?


Yaani unajikuta tu nyimbo huchoki kuiskiliza Nyimbo kama ya mwanamama tshala muana "Mario" unachokaje kwa mfano? Sound safi ,vyombo vimepangiliwa vizuri .

Utachagua ipi? Bado sana ya kina nyange? Aah wapi?


Hizi ni baadhi ya nyimbo za zamani zitakazokupa usikivu mzuri kwenye maskio yako.


1: Franco - Mario

2; Monique Seka - Okaman

3: Tshala Muana - Mario

4: Madilu System- Yajaa

5; Madilu System -si je sa vais


6: Tabu Ley - Ibeba

7: Mbilia Beli - Nairobi

8: Madilu System - Sansa ya papi

9: Nyimbo zote za Franco

10: Oliver Ngoma - Icole

11: oliver ngoma - Lusa, Alphonsie

12: Kanda Bongoman - Muchana

13: Bozi Boziana - Pitie


 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Hizo kwangu Mimi wamepatia sana waliorekodi na kupiga vyombo

Walifanya vipi ikiwa maproducer wa sasa wana equipment nzuri na wanatengeza muziki big g?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad