Rap Lil Uzi Vert amekua gumzo baada ya kuweka Almasi ya bilioni 55.4 kwenye paji la uso

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Nyota wa Muziki wa Rap Lil Uzi Vert  amezua gumzo na kuwashangaza watu wengi baada ya kuamua kuweka Almasi iliyogharimu mpunga mrefu kwa ajili ya kupendezesha Paji lake ka uso,
Rapa huyo ametumia dolla million 24 (Takribani Bilioni 55.4 za Kitanzania) kuweka almasi hiyo yenye rangi ya Pinki kama urembo, #LilUziVert, amedai haikuwa rahisi kufanikisha jambo hilo kwani ilimbidi kuanza kulipia pesa kidogo kidogo tangu mwaka 2017 kwa ajili ya mchakato huo,

DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Almasi hiyo ya imepandikizwa katikati ya paji lake la Uso, Baadhi ya Mashabiki zake hawajafurahishwa na kitendo hicho wakidai huenda kikahatarisha maisha yake ingawa amewatoa hofu kwani tayari ameikatia Bima.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad