Simba Yaongoza Kundi Ligi Ya Mabingwa Afrika, Yaipiga Al-Ahly

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




SIMBA inaongoza msimamo wa kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo Februari 23, 2021 kufikisha pointi sita baada ya kuifunga Al-Ahly bao 1-0 Uwanja wa Mkapa.





Bao la Simba limefungwa na Luis Miquissone kipindi cha kwanza cha mchezo huo.

Mchezo mwingine, As Vital imeshinda mabao 4-1 dhidi ya El-Merrekh hivyo kushika nafasi ya pili katika kundi hilo.


Al-Ahly inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi tatu, El-Merrekh hawana pointi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad