Wachezaji Mpira 8 Wafariki Dunia Katika Ajali ya Basi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 




Guinea:

Wachezaji nane wa timu ya Etoile de Guinee wamefariki dunia katika ajali ya basi na wengine 17 wamejeruhiwa


Ajali hiyo imetokea nje kidogo ya Mji wa Mamou wakati timu hiyo inaelekea Mjini Kankan kucheza mechi yao ya kwanza tangu kuanza kwa msimu


Taarifa zaidi kuhusu ajali hiyo hazijawekwa wazi, lakini imeripotiwa kuwa, majeruhi walio na hali mbaya watasafirishwa hadi Conakry, Mji mkuu wa nchi hiyo


Hii ni ajali ya pili kugharimu maisha ya wachezaji mpira nchini Guinea. Wachezaji wawili pamoja na Dereva walipoteza maisha timu ya Wakirya AC ilipopata ajali Desemba mwaka jana

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad