AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la polisi mkoani Arusha limewakama mtandao wa watuhumiwa watatu wa mauaji ya matukio ya wanawake mkoani Arusha ambayo yamekuwa yakifanyika mara kwa mara.
Akizungumza na waandishi wa Kamanda wa polisi mkoani Arusha,Salum Hamduni amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Mbise Sanare Lekumo(30) mkazi wa Olasiti ,Lembeka Olomorojo(65) mkazi wa Osunyai na mganga wa kienyeji Bashiri Msuya (64)mkazi wa mtaa wa Kirika B kata ya Osunyai jijini Arusha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK