Atakachofanya Rais Samia Suluhu leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Machi 28, 2021 atapokea taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za mwaka wa fedha 2019/2020.


Pamoja na hiyo pia atapokea taarifa ya TAKUKURU ya 2019/2020, hafla hiyo itafanyika Ikulu Chamwino Dodoma kuanzia saa 4:00 Asubuhi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad