Balozi wa Marekani ampongeza Rais Samia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kufuatiwa Kifo cha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk, John Magufuli, Viongozi mbalimbali wameendelea kutumia kurasa zao za mitandao ya Kijamii kumpongeza Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.


Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Donald J Wright, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuapishwa

Pia balozi Wright ametakia kila la heri Rais Samia anapoanza Uongozi wake kwa kuliongoza Taifa katika kipindi kigumu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad