Mnyika: Mrema wa CHADEMA ni mzima wa Afya Puuzeni Taarifa za Uongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje, John Mrema amefariki dunia.

“Sio kweli zipuuzeni hizo taarifa hazina ukweli wowote,” Mnyika.


Katika barua hiyo inayosambaa mitandaoni ambayo Mnyika anasema ni feki ina kichwa cha habari kinachosema utaratibu wa kuhudhuria mazishi ya Mrema na ina nembo ya chama hicho.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad