Rayvann Amuomba Msamaha Kajala

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MSANII Raymond Shaban Mwakyusa aka Rayvanny aliye chini ya label ya Wasafi Classic Baby (WCB) kupitia ukurasa wake wa Instagram amemwomba msamaha muigizaji Kajala Masanja ambaye ni mama mzazi wa  Paula Masanja.

“Duniani wakati mwingine kuna vitu tunavifanya ambavyo pengine kwa macho yetu ya ujana tunaona ni sahihi lakini tunasahau upande mwingine wa pili ambao ni wazazi wanaoumia kwa namna moja au nyingine. Nichukue nafasi hii kumuomba radhi dada angu Kajala Masanja na kuwaomba radhi wazazi na yeyote ambaye nilimkwaza kwa kupost video ambayo inawezekana imetafsiriwa vibaya …kwa sababu sisi ni binadamu na kamwe hatuwezi kukamilika” alisema Rayvanny.




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad