Uganda kuomboleza siku 14 kifo cha Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema nchi yake inaungana na Watanzania kuomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kutangaza siku 14 za maombolezo ambapo bendera zote zitapepea nusu mlingoti.

 

Rais Museveni ameandika hayo katika ukurusa wake wa Twitter na kutoa pole kwa Watanzania kufuatia msiba huo mzito huku akimpongeza Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Akimuelezea Hayati Dkt. Magufuli amesema alikuwa ni rafiki wa ukweli kwa Uganda, bingwa wa kujitoa katika upatanishi wa uchumi wa Afrika Mashariki na maendeleo, mwenye msimamo wa wazi wenye kutia nguvu katika masuala ya Tanzania na Afrika.


Sambamba na hayo Rais Museveni amesema nchi ya Tanzania itaukumbuka uongozi wake uliotukuka  na mchango wake ambao walikuwa wanautengea kwa muhula wake wa mwisho katika nafasi yake ya uongozi.

 

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad