Waziri Mkuu wa Ivory Coast Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Hamed Bakayoko amefariki dunia Jumatano, Machi 10, 2021, akiwa katika Freiburg nchini Ujerumani ambako alikuwa akipatiwa matibabu kutokana na ugonjwa wa kansa.

 

Rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara amesema wataanza kuomboleza kuanzia leo hii.Kifo chake kinajiri baada ya siku mbili zilizopita kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 56.

 

“Taifa linaomboleza kifo chake.” alisema Alassane Ouattara kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Twitter.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad